Thursday, October 21, 2010

Jana nimeanza safari ya kuandika Kitabu cha Babu yangu George Lilanga tarehe 20/10/2010  Natakiwa kumaliza 20/10/2011  hii tarehe ndio siku yangu ya kuzaliwa na nimeamua kusherekea siku hii kwa kazi ya kuandika kitabu ili kumuhenzi Babu yangu, na ni ahadi yangu kwake na nilazima niifanye!   naomba Mungu anisaidie kwa hili,  Naamini ili niwe na amani nibora nifanikishe hili ndipo nianze safari yangu ya kuandika juu ya Who is Hendrick Lilanga?   Thanks a lot Marafiki wote/  Hendry Lilanga

No comments:

Post a Comment