Wednesday, October 13, 2010

Habari ndugu na marafiki pia!   Kwa wale wapenzi wa kazi za mikono hususani Sanaa kwa ujumla.   Napenda  kuwaeleza wale wote wenye wasiwasi  na kazi za   G. Lilanga yakua ni feki !!!     Jibu ni kwamba,  hakuna picha  feki za George Lilanga,   kwani kazi yoyote yenye Saini ya Lilanga hiyo itakua ni picha Original.    Na yeyote anae jaribu kuiga kazi za G.Lilanga na kusaini ( lilanga ) ajue anafanya kosa bila yeye mwenyewe kujua, kwani endapo angejitahidi kufanya kazi nzuri labda hata yeye angepata sifa kama za Mkongwe huyo. Natoa changamoto kwa wasanii wote wasio jiamini yakua wao ndio wao ni bora waachane na kazi za Sanaa kwani pengine wanapoteza muda bila wao kujua.    So, Tinga tinga wao ni tinga tinga!  wataendelea kua tinga tinga,   Na Lilanga Style itabaki kua  ya George Lilanga Seniour  and  number 2 he will be Hendrick Lilanga Juniour!   Then, who will be next...(  ???  )   but every one should be like that itachukua muda.  Na kwaheri rafiki

No comments:

Post a Comment